Lugha Na Utamaduni: Uhusiano Wa Kisemantiki Katika Methali Za Kiswahili Na Kiarabu
DOI:
https://doi.org/10.51984/johs.v23i1.3024Keywords:
Kiarabu, Kiswahili, Lugha, Methali, Semantiki, UtamaduniAbstract
Makala hii imejikita katika mtazamo mtambuka na linganishi wa taaluma za lugha na utamaduni. Lengo la makala hii ni kuonesha uhusiano kati ya utamaduni wa Mwarabu na Mswahili kupitia lugha ya Kiswahili na Kiarabu katika nyanja ya kiisimu. Inaainisha mfanano baina ya methali za Kiswahili na Kiarabu katika mawanda ya semantiki. Kwa kutumia nadharia ya Grice ya semantiki makusudio, makala hii inajenga hoja kuwa methali za Kiswahili na Kiarabu zinathibitisha uwepo wa uhusiano ambao unaashiria na kuthibitisha mwingiliano wa kitamaduni baina ya Waswahili na Waarabu. Imebainika kuwa methali za pande zote mbili zinashiriki mantiki kimuktadha kwa kuzingatia lengo la ujumbe wa methali husika. Data ya makala hii ilikusanywa kupitia mahojiano pamoja na upitiaji matini. Sehemu kubwa ya data iliyokusanya inajumuisha methali za Kiswahili na Kiarabu pamoja na maana zake. Pia wazungumzaji wa lugha ya Kiswahili na Kiarabu wapatikanao jijini Dar es Salaam, Tanzania walihusika katika mahojiano. Walihojiwa juu ya maana na matumizi ya methali hasa katika nyanja ya familia na mfumo wa haki. Makala hii pamoja na umuhimu wake kitaaluma, inaweza kutumika katika kuimarisha uhusiano wa kiutamaduni na hata diplomasia baina ya Tanzania na mataifa ya Kiarabu.
Downloads
Downloads
Published
License
Journal of Humanities Policy on Intellectual Property and Plagiarism
1. Commitment to Intellectual Property and Ethics
The Journal of Humanities (JOHS) is fully committed to respecting intellectual property rights and aims to protect the originality and authentic work of authors who submit their manuscripts for publication. The journal takes a firm stand against articles that contain any form of plagiarism and emphasizes the need for all researchers to adhere to the highest ethical standards in scientific research.
2. Anti-Plagiarism Policy
The journal considers plagiarism a serious violation of academic ethics. Therefore, authors must ensure that their work is original and not plagiarized, and that any use of external sources is properly cited and documented according to correct academic standards.
-
Actions Taken: In the event that any plagiarism or academic theft is discovered in a submitted article, the editorial board will contact the author to request a formal explanation within a maximum period of two weeks from the date of notification.
-
Investigation and Decision: After receiving the explanation, the article will be referred to the journal's specialized committees, which will investigate the matter and take the necessary measures, which may include the permanent rejection of the article and the imposition of disciplinary actions.
3. Publication License and Author Rights
The journal adopts the Creative Commons license type Attribution-NonCommercial-NoDerivs 4.0 International (CC BY-NC-ND 4.0), which allows for the following:
-
Attribution: Users are entitled to cite the content published in the journal and use it in their work, provided that the original source and author are clearly credited.
-
Non-Commercial: The published content may not be used for any commercial purpose.
-
NoDerivs: It is not permitted to make any modifications, distortions, or to build derivative works from the published content.
Under this license, authors are required to complete an exclusive license agreement for the journal. Authors retain the rights to their research data and may reuse and share their work for scientific purposes with proper citation.


