UCHAMBUZI WA FASIHI ZA KIFUNGWA: MFANO KUTOKA HAINI
DOI:
https://doi.org/10.51984/johs.v24i1.3704Keywords:
Fasihi, Nadharia, Ufungwa, Jela, kaziAbstract
Makala hii inahusu uchambuzi wa fasihi za ufungwa ambazo zimehakiiwa kwa mkabala wa pendekezwa wa nadharia ya ufungwa. Ufungwa kama nadharia pendekezwa ya kuhakikia kazi za kifasihi za Ufungwa. Dhana ya Ufungwa hufasiliwa kama hali ya mtu kuwekwa jela akitumikia kifungo. Fasihi ya Ufungwa ni dhana ngeni ya kifasihi inayorejelea maandiko au kazi zote zinazohusu maisha ya jela au mahabusu. Aghalabu kazi za ufungwa huhusishwa na miktadha ya maisha ya mwandishi wa kazi husika.
Kimazoea nadharia huendelea kutumika kuhakiki kazi za kifasihi kwa muda mrefu hata kama nadharia hiyo inapwaya. Hivyo, kwa upungufu huo mhakiki hujikuta akitumia nadharia zaidi ya moja kuhakiki kazi husika ili kuweza kukidhi malengo yake. Hata hivyo, hali hii inapaswa kubadilika kutokana na kasi na mitindo na kumbo mpya za kifasihi zinazoibuka hususani Fasihi ya Ufungwa. Kutokana na mabadiliko haya nadharia kongwe hujikuta hazina budi kupisha nadharia mpya ili ziendelee kuhakiki kazi mbalimbali zinazoibuka.
Oswald, anaona kazi za ufungwa zinaweza kuhakikiwa kwa nadharia ya Kuwako‟ (Existentialism), Uhistoria Mpya‟, na „Elimu Mitindo‟ Pamoja na muongozo huu lakini tunaona bado nadharia hizo pia hazijitoshelezi kuhakiki kazi ya ufungwa kwa ujumla wake. Badala yake, zitajikita katika kuchambua tukio mojamoja. Hivyo, tunaona jinsi tunavyopata shida tunapotakiwa kuchambua kazi za ufungwa. Hatuwezi kuongozwa na nadharia moja ama mbili zikatosheleza, bali tutajikita katika kutumia mzigo wa nadharia katika kuhakikia kazi moja. Kwa upungufu huu, makala hii itajaribu kupata suluhisho la nadharia ambayo ingeweza kuhakiki kazi za ufungwa kwa jumla pasi na kutumia rundo la nadharia katika kazi moja. Makala hii itafafanua jinsi nadharia pendekezwa ya Ufungwa itakavyojitosheleza kuhakiki kazi za ufungwa ikidondoa mihimili ya nadharia hiyo na matumizi yake.
Downloads
Downloads
Published
License
Journal of Humanities Policy on Intellectual Property and Plagiarism
1. Commitment to Intellectual Property and Ethics
The Journal of Humanities (JOHS) is fully committed to respecting intellectual property rights and aims to protect the originality and authentic work of authors who submit their manuscripts for publication. The journal takes a firm stand against articles that contain any form of plagiarism and emphasizes the need for all researchers to adhere to the highest ethical standards in scientific research.
2. Anti-Plagiarism Policy
The journal considers plagiarism a serious violation of academic ethics. Therefore, authors must ensure that their work is original and not plagiarized, and that any use of external sources is properly cited and documented according to correct academic standards.
-
Actions Taken: In the event that any plagiarism or academic theft is discovered in a submitted article, the editorial board will contact the author to request a formal explanation within a maximum period of two weeks from the date of notification.
-
Investigation and Decision: After receiving the explanation, the article will be referred to the journal's specialized committees, which will investigate the matter and take the necessary measures, which may include the permanent rejection of the article and the imposition of disciplinary actions.
3. Publication License and Author Rights
The journal adopts the Creative Commons license type Attribution-NonCommercial-NoDerivs 4.0 International (CC BY-NC-ND 4.0), which allows for the following:
-
Attribution: Users are entitled to cite the content published in the journal and use it in their work, provided that the original source and author are clearly credited.
-
Non-Commercial: The published content may not be used for any commercial purpose.
-
NoDerivs: It is not permitted to make any modifications, distortions, or to build derivative works from the published content.
Under this license, authors are required to complete an exclusive license agreement for the journal. Authors retain the rights to their research data and may reuse and share their work for scientific purposes with proper citation.


