Tamathali za Semi katika Mashairi ya Shaaban Robert

Authors

  • Badredden Department of Afro Asian Languages (Kiswahili),College of languages, University of Tripoli, Libya

DOI:

https://doi.org/10.51984/johs.v23i1.2697

Keywords:

الاستعارة, التشبية, التكرار, التورية, الجناس

Abstract

Makala hii inachunguza Tamathali za Semi katika mashairi ya

Shaaban Robert katika kazi zake za fasihi za Pambo la Lugha na

Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini.

Uchambuzi wetu ulijielekeza katika kuchunguza Uchambuzi wa

Kifafanuzi tamathali za semi zinazojitokeza katika mashairi ya

Shaaban Robert ndani ya vitabu teule na kwa kiasi gani msanii

aliitumia.

Katika makala hii tumegundua kuwa msanii alitumia tamathali za

semi kama mbinu ya kisanii kuwasilisha ujumbe kwa hadhira yake.

Sitiari. ,Tafsida, Takriri, Tashbiha, Tashhisi,

Tamathali za semi ambazo zimeonekana kutumiwa zaidi katika

mashairi hayo ni sitiari, tashibiha, tashihisi, tafsida na takriri.

Mwandishi pia alilenga kutumia Tamathali za Semi katika

katika ushairi wake ili kushughulikia baadhi ya masuala

ya kijamii, kama vile ukatili dhidi ya wanawake na nafasi

zao katika jamii.Hili ndilo lililofanya mashairi ya mwandishi kuwa na thamani ya kifasihi na kijamii, namtindo wake kuwa na mvuto katika jamii. makundi mbalimbali ya jamii ya Watanzania.

Downloads

Download data is not yet available.

Downloads

Published

2024-02-06

Issue

Section

Articles

Categories

How to Cite

Tamathali za Semi katika Mashairi ya Shaaban Robert. (2024). Journal of Human Sciences, 23(1), 31-34. https://doi.org/10.51984/johs.v23i1.2697