Uundaji wa Kauli ya Kutendwa Katika Lugha ya Kiswahili na ya Kiarabu
Main Article Content
Abstract
Utafiti huu unalenga kuchanganua na kuchunguza uundaji wa kauli ya kutendwa katika lugha ya Kiswahili na lugha ya Kiarabu, na mtafiti kutokana na ufundishaji wake wa kozi za sarufi kwa wanafunzi wanaojifunza lugha Kiswahili katika Idara ya lugha na Taaluma za Kiafrika katika Chuo Kikuu cha Sebha kwa muda mrefu, mtafiti aliona kuwa kuna wanafunzi wengi wanakumbana na matatizo mengi na ugumu wa kuelewa jinsi na kanuni za uundaji wa vitenzi katika lugha ya Kiswahili. Kwa kuwa mtafiti anaelekea kwenye dhana kwamba tofauti kati ya lugha hizo mbili katika jinsi na kanuni za uundaji wa kauli ya kutendwa ni sababu mojawapo ya kuwepo kwa baadhi ya matatizo na ugumu. Kwa hivyo, mtafiti alichunguza jinsi ya kubadilisha vitenzi kuwa katika kauli ya kutendwa kisha kuvitumia katika sentensi ili mwanafunzi ajue jinsi na kanuni za uundaji wa kauli ya kutendwa katika lugha zote mbili Kiswahili na Kiarabu. Ifahamike hapa kuwa utafiti huu unachukuliwa kuwa wa kwanza wa aina yake kwa kuwa ulishughulikia maelezo ya jinsi ya kuunda kauli ya kutendwa katika lugha ya Kiarabu kwa lugha ya Kiswahili, pamoja na kwamba unachanganya katika kueleza uundaji wa kauli ya kutendwa katika Kiswahili na Kiarabu katika utafiti huo huo. Mwenyezi Mungu akipenda, utafiti huu utakuwa wa thamani si tu kwa wanafunzi wa Kiarabu wanaojifunza lugha ya Kiswahili, bali pia kwa wanafunzi wa Kiswahili wanaojifunza Kiarabu. Pia, utafiti huu utawasaidia katika kujua jinsi ya kuunda kauli ya kutendwa katika lugha ya Kiarabu na tofauti na lugha ya Kiswahili. Isitoshe, bali faida itakuwa hata kwa walimu na watafiti wa lugha zote mbili.
Downloads
Article Details
Journal of Humanities Policy on Intellectual Property and Plagiarism
1. Commitment to Intellectual Property and Ethics
The Journal of Humanities (JOHS) is fully committed to respecting intellectual property rights and aims to protect the originality and authentic work of authors who submit their manuscripts for publication. The journal takes a firm stand against articles that contain any form of plagiarism and emphasizes the need for all researchers to adhere to the highest ethical standards in scientific research.
2. Anti-Plagiarism Policy
The journal considers plagiarism a serious violation of academic ethics. Therefore, authors must ensure that their work is original and not plagiarized, and that any use of external sources is properly cited and documented according to correct academic standards.
-
Actions Taken: In the event that any plagiarism or academic theft is discovered in a submitted article, the editorial board will contact the author to request a formal explanation within a maximum period of two weeks from the date of notification.
-
Investigation and Decision: After receiving the explanation, the article will be referred to the journal's specialized committees, which will investigate the matter and take the necessary measures, which may include the permanent rejection of the article and the imposition of disciplinary actions.
3. Publication License and Author Rights
The journal adopts the Creative Commons license type Attribution-NonCommercial-NoDerivs 4.0 International (CC BY-NC-ND 4.0), which allows for the following:
-
Attribution: Users are entitled to cite the content published in the journal and use it in their work, provided that the original source and author are clearly credited.
-
Non-Commercial: The published content may not be used for any commercial purpose.
-
NoDerivs: It is not permitted to make any modifications, distortions, or to build derivative works from the published content.
Under this license, authors are required to complete an exclusive license agreement for the journal. Authors retain the rights to their research data and may reuse and share their work for scientific purposes with proper citation.