Baadhi ya Mbinu za Kifani katika Riwaya ya Kiswahili "Riwaya ya Kiu ya Mohamed Suleiman kama mfano"
Main Article Content
Abstract
Kazi ya fasihi ikiwemo riwaya huundwa na fani na maudhui, ambavyo kwa pamoja ndivyo hutupatia kazi inayoitwa fasihi. Fani huundwa na vipengele kama vile wahusika, mtindo, mandhari, muundo na matumizi ya lugha. Vipengele hivi hutumiwa na waandishi kwa namna tofauti tofauti kulingana na ujuzi na welei wao. Kwa upande wa maudhui ni jumla ya mawazo makuu yanayoelezwa na mwandishi au msimulizi wa kazi ya fasihi na kutaka hadhira yake ipate .
kazi huu ulikusudiwa kufanywa kwa nia ya kuchunguza dhamira mbalimbali ambazo zinawasilishwa na Mohamed Suleiman katika riwaya yake ya Kiu. Kupita riwaya hii tumeainisha na mbinu za kifani zilizotumiwa na mwandishi katika kuibua dhamira ndani ya riwaya hiyo.
Kiu ni riwaya ya Kiswahili inayoelezea hadithi ya Bahati, kijana mwanamke aliyelelewa akaleleka na sasa anakutana na Idi, mwanaume laghai. Iddi hakawii kumzonga Bahati kwa kamba ya mapenzi ya uwongo. Bahati akiwa kalowa mapenzi hajijui hajitambui, anang’amua kuwa Iddi kwa kweli hampendi yeye, bali nafsi yake mwenyewe, na yeye Bahati ni chombo tu cha kutimiza shauku zake za kilimwengu. Kama ndege aliyenaswa katika ulimbo, jitihada zake za kujipatia nusura zinamletea angamio.
Downloads
Article Details
Journal of Humanities Policy on Intellectual Property and Plagiarism
1. Commitment to Intellectual Property and Ethics
The Journal of Humanities (JOHS) is fully committed to respecting intellectual property rights and aims to protect the originality and authentic work of authors who submit their manuscripts for publication. The journal takes a firm stand against articles that contain any form of plagiarism and emphasizes the need for all researchers to adhere to the highest ethical standards in scientific research.
2. Anti-Plagiarism Policy
The journal considers plagiarism a serious violation of academic ethics. Therefore, authors must ensure that their work is original and not plagiarized, and that any use of external sources is properly cited and documented according to correct academic standards.
-
Actions Taken: In the event that any plagiarism or academic theft is discovered in a submitted article, the editorial board will contact the author to request a formal explanation within a maximum period of two weeks from the date of notification.
-
Investigation and Decision: After receiving the explanation, the article will be referred to the journal's specialized committees, which will investigate the matter and take the necessary measures, which may include the permanent rejection of the article and the imposition of disciplinary actions.
3. Publication License and Author Rights
The journal adopts the Creative Commons license type Attribution-NonCommercial-NoDerivs 4.0 International (CC BY-NC-ND 4.0), which allows for the following:
-
Attribution: Users are entitled to cite the content published in the journal and use it in their work, provided that the original source and author are clearly credited.
-
Non-Commercial: The published content may not be used for any commercial purpose.
-
NoDerivs: It is not permitted to make any modifications, distortions, or to build derivative works from the published content.
Under this license, authors are required to complete an exclusive license agreement for the journal. Authors retain the rights to their research data and may reuse and share their work for scientific purposes with proper citation.