Maudhui Yanayojitokeza Katika Tamthilia Ya Kaptula La Marx Kupitia Tashtiti
DOI:
https://doi.org/10.51984/johs.v21i2.1989Keywords:
Fasihi, Nadharia ya Simotiki, Nadharia ya Sosholojia, Tamthilia, TashtitiAbstract
Lengo kuu la makala haya ni kuchunguza maudhui ya tamthilia ya kitanzania kaptula la marx kupitia tashtit. Makala haya yanalenga kutathmini maudhui yanayojitokeza kwenye tamthilia hiyo na ni kweli kuwa tamthilia hii ina umuhimu wa kimaudhui na kifani, na inaakisi uhalisia wa mambo katika jamii katika kipindi cha muhimu kwenye historia ya nchi husika. Madhumuni mahsusi ya makala haya ni kuchambua maudhui ya tamthilia ya tajwa ili kuona hatua za maendeleo kimaudhui zilizofikiwa katika tamthilia. Data za utafiti zitakusanywa kwa kutumia mbinu ya upitiaji wa nyaraka maktabani. Na nadharia ya soshiolojia imeongoza makala haya katika uchanganuzi wa maudhui yaliyojitokeza kwenye tamthilia tajwa. Mtafiti amesoma kazi tangulizi katika maktaba za chuo kikuu huria cha tanzania, chuo kikuu cha cairo, chuo kikuu cha dar es salaam na chuo kikuu cha al-azhar. Data hizo zimechambuliwa kwa kutumia mkabala wa kimaelezo kwa madondoo kutoka katika matini ya tamthilia hiyo katika kushadadia hoja.
Downloads
Downloads
Published
Issue
Section
License
Journal of Humanities Policy on Intellectual Property and Plagiarism
1. Commitment to Intellectual Property and Ethics
The Journal of Humanities (JOHS) is fully committed to respecting intellectual property rights and aims to protect the originality and authentic work of authors who submit their manuscripts for publication. The journal takes a firm stand against articles that contain any form of plagiarism and emphasizes the need for all researchers to adhere to the highest ethical standards in scientific research.
2. Anti-Plagiarism Policy
The journal considers plagiarism a serious violation of academic ethics. Therefore, authors must ensure that their work is original and not plagiarized, and that any use of external sources is properly cited and documented according to correct academic standards.
-
Actions Taken: In the event that any plagiarism or academic theft is discovered in a submitted article, the editorial board will contact the author to request a formal explanation within a maximum period of two weeks from the date of notification.
-
Investigation and Decision: After receiving the explanation, the article will be referred to the journal's specialized committees, which will investigate the matter and take the necessary measures, which may include the permanent rejection of the article and the imposition of disciplinary actions.
3. Publication License and Author Rights
The journal adopts the Creative Commons license type Attribution-NonCommercial-NoDerivs 4.0 International (CC BY-NC-ND 4.0), which allows for the following:
-
Attribution: Users are entitled to cite the content published in the journal and use it in their work, provided that the original source and author are clearly credited.
-
Non-Commercial: The published content may not be used for any commercial purpose.
-
NoDerivs: It is not permitted to make any modifications, distortions, or to build derivative works from the published content.
Under this license, authors are required to complete an exclusive license agreement for the journal. Authors retain the rights to their research data and may reuse and share their work for scientific purposes with proper citation.


