ATHARI ZA TEKNOLOJIA KATIKA UKUZAJI WA LUGHA YA KISWAHILI " UCHUNGUZI KIFANI "
DOI:
https://doi.org/10.51984/kr9zz707Keywords:
Kiswahili, Teknolojia, Ukuzaji wa Lugha, Upangaji Lugha, Mitandao ya KijamiiAbstract
Utafiti huu unachunguza nafasi ya teknolojia katika ukuzaji wa lugha ya Kiswahili kwa kuangazia maeneo ya upangaji lugha kama uteuzi, usanifishaji, uenezaji, uendelezaji na tathmini. Licha ya maendeleo makubwa ya teknolojia ya habari na mawasiliano katika karne ya ishirini na moja, tafiti nyingi zimejikita zaidi katika historia na fasihi ya Kiswahili huku zikipuuzia mchango wa teknolojia katika kukuza lugha hii. Utafiti huu umetumia mbinu ya kimaelezo na mchanganyiko, ukiunganisha hojaji, mahojiano, uchambuzi wa nyaraka na uangalizi ili kupata data kutoka kwa walimu, wanafunzi na wataalamu wa lugha. Matokeo yanaonyesha kuwa teknolojia imekuwa chombo muhimu cha kukuza Kiswahili kitaifa na kimataifa kupitia mitandao ya kijamii, vyombo vya habari, fasihi mtandaoni na programu za lugha. Hata hivyo, changamoto kama kuchanganywa kwa lugha (code-switching), matumizi ya Kiswahili kisicho sanifu, tafsiri zisizo sahihi na kupotea kwa baadhi ya vipengele vya utamaduni wa Kiswahili zimejitokeza. Utafiti unahitimisha kwamba teknolojia ni chombo chenye manufaa makubwa katika kukuza Kiswahili, lakini inahitaji mikakati thabiti ya kisera na kitaaluma ili kulinda ubora na uthabiti wa lugha hii.
Downloads
Downloads
Published
License
Copyright (c) 2026 Journal of Human Sciences

This work is licensed under a Creative Commons Attribution-NonCommercial-NoDerivatives 4.0 International License.
Journal of Humanities Policy on Intellectual Property and Plagiarism
1. Commitment to Intellectual Property and Ethics
The Journal of Humanities (JOHS) is fully committed to respecting intellectual property rights and aims to protect the originality and authentic work of authors who submit their manuscripts for publication. The journal takes a firm stand against articles that contain any form of plagiarism and emphasizes the need for all researchers to adhere to the highest ethical standards in scientific research.
2. Anti-Plagiarism Policy
The journal considers plagiarism a serious violation of academic ethics. Therefore, authors must ensure that their work is original and not plagiarized, and that any use of external sources is properly cited and documented according to correct academic standards.
-
Actions Taken: In the event that any plagiarism or academic theft is discovered in a submitted article, the editorial board will contact the author to request a formal explanation within a maximum period of two weeks from the date of notification.
-
Investigation and Decision: After receiving the explanation, the article will be referred to the journal's specialized committees, which will investigate the matter and take the necessary measures, which may include the permanent rejection of the article and the imposition of disciplinary actions.
3. Publication License and Author Rights
The journal adopts the Creative Commons license type Attribution-NonCommercial-NoDerivs 4.0 International (CC BY-NC-ND 4.0), which allows for the following:
-
Attribution: Users are entitled to cite the content published in the journal and use it in their work, provided that the original source and author are clearly credited.
-
Non-Commercial: The published content may not be used for any commercial purpose.
-
NoDerivs: It is not permitted to make any modifications, distortions, or to build derivative works from the published content.
Under this license, authors are required to complete an exclusive license agreement for the journal. Authors retain the rights to their research data and may reuse and share their work for scientific purposes with proper citation.


