Ulinganishi Wa Fonolojia Ya Kiswahili Na Fonolojia Ya Kiarabu

Authors

  • إبراهيم العهادي لحميدي قسم اللغات والدراسات الأفريقية-كلية الآداب - جامعة سبها

DOI:

https://doi.org/10.51984/johs.v20i1.1531

Keywords:

Fonolojia, Irabu, Konsonanti, Mfumo, Ulinganishi

Abstract

Makala haya yanalenga kulinganisha mifumo ya fonolojia ya lugha ya Kiswahili na lugha ya Kiarabu. Katika kufanya ulinganishi huu kuna vipengele vitatu vitakavyozingatiwa. Kipengele cha kwanza ni kujadili mfumo wa fonolojia ya Kiarabu. Kipengele cha pili ni kujadili mfumo wa fonolojia ya Kiswahili. Ama katika kipengele cha tatu tutalinganisha kati ya fonolojia ya lugha hizi mbili. Vipengele hivi vitatu ambavyo vitazingatiwa katika utafiti huu vitatoa fununu kubwa juu ya uhusiano na tofauti kati ya fonolojia ya Kiswahili na fonolojia ya Kiarabu;

Downloads

Download data is not yet available.

Author Biography

  • إبراهيم العهادي لحميدي, قسم اللغات والدراسات الأفريقية-كلية الآداب - جامعة سبها

    قسم اللغات الدراسات الأفريقية

Downloads

Published

2021-06-30

Issue

Section

Articles

How to Cite

Ulinganishi Wa Fonolojia Ya Kiswahili Na Fonolojia Ya Kiarabu. (2021). Journal of Human Sciences, 20(1), 188-192. https://doi.org/10.51984/johs.v20i1.1531